Skip to main content

Posts

Showing posts from August 4, 2026

@marato_tv

@marato_tv
#sauti_ya_jamii

JKT KUENDELEZA ELIMU YA KILIMO BAADA YA NANENANE,YAPANGA KUWAINUA WAHITIMU WAKE KIUCHUMI

 Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limesema litaendelea kutoa elimu ya kilimo bora na cha kisasa, ufugaji na uvuvi kwa wananchi hata baada ya kufungwa kwa Maonesho ya Wakulima (Nanenane), huku likiandaa mfumo maalumu wa kuwafuatilia na kuwawezesha vijana wanaohitimu mafunzo yake kujikita katika shughuli za uzalishaji na kujitegemea. Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa, Meja Jenerali Rajabu Mabele, alipotembelea banda la JKT katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea katika Viwanja vya Dkt. John Malecela, Nzuguni jijini Dodoma, Agosti 4, 2026. Meja Jenerali Mabele alisema maonesho ya Nanenane ni fursa muhimu kwa JKT kuonyesha teknolojia na mbinu bora za kilimo, ufugaji na uvuvi, huku akisisitiza kuwa huduma hizo zitaendelea kutolewa hata baada ya maonesho hayo kumalizika. "Kwetu sisi maonesho haya ya Nanenane ni endelevu. Hata baada ya maonesho haya kufungwa, tutaendelea kuwepo hapa na katika kanda zote ambazo JKT linashiriki ili wananchi waendelee kupata elimu ya kili...

BALOZI MBAROUK ASEMA ITALIA INA NAFASI KUBWA YA KULETA WATALII NCHINI

📌Aipongeza Wizara Ya Maliasili na Utalii kutangaza fursa za utalii nje ya nchi 📌Jaji Mruma naye atembelea Banda la Maliasili kujionea wanyamapori hai Nane Nane *Na Neema Chalila Mbuja, Dodoma* BALOZI wa Tanzania nchini Italia na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO), Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD) na Shirika la Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP), Mhe. Mbarouk Nassoro Mbarouk leo Agosti 04, 2026, ametembelea Banda la Wizara ya Maliasili na Utalii na kusema kuwa nchi ya Italia ina nafasi kubwa ya kuleta watalii wengi nchini. Mhe. Balozi Mbarouk amesema Tanzania inafanya vizuri kwenye kutangaza utalii na vivutio vyake na kuipongeza Wizara kwa kazi nzuri inayoifanya. Katika hatua nyingine Wizara ya Maliasili na Utalii imepokea ugeni wa Jaji wa Mahakama ya Rufaa Mhe. Rajab Mruma ambaye ameitaka Wizara ya Maliasili na Utalii kubuni mbinu za kutafuta utatuzi wa changamoto za wanyamapori hai kuingia kwenye makazi ya wananchi kwa kujenga u...

MATIKO ATIMIZA AHADI KWA MADEREVA BODABODA TARIME MJINI, AKABIDHI MILIONI MOJA NA KOMPYUTA

 MBUNGE wa Jimbo la Tarime Mjini, Mhe. Esther Matiko, ametekeleza ahadi yake kwa Chama cha Madereva wa Pikipiki (Bodaboda) Tarime Mjini baada ya kukabidhi msaada wa shilingi milioni moja (Tsh 1,000,000) pamoja na kompyuta moja, hatua inayolenga kuimarisha utendaji na kuboresha huduma zinazotolewa kwa wanachama wa chama hicho. Akizungumza wakati wa hafla ya makabidhiano, Mhe. Matiko alisema kuwa uwezeshaji huo ni sehemu ya dhamira yake ya kuunga mkono makundi mbalimbali ya kijamii na kiuchumi ili yaweze kujijengea uwezo na kuongeza tija katika shughuli zao za kila siku. Ameeleza kuwa kompyuta hiyo itasaidia kurahisisha shughuli za kiutawala, utunzaji wa kumbukumbu na mawasiliano ndani ya chama, huku fedha hizo zikitarajiwa kusaidia uendeshaji wa shughuli mbalimbali za chama. "Bodaboda ni kundi muhimu katika kukuza uchumi na kutoa huduma za usafiri kwa wananchi. Ni wajibu wetu kuwaunga mkono ili waweze kufanya kazi katika mazingira bora na yenye tija zaidi," amesema Mhe. Matiko...

DKT. TAUSI AONGOZA KIKAO CHA MAKATIBU WAKUU CHA KUJADILI UTENDAJI WA MRADI WA BRT

Na. Mwandishi Wetu – Dar es Salaam Katibu Mkuu Ofisi ya Rais – Mipango na Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango Dkt. Tausi Kida ameongoza kikao cha Makatibu Wakuu kwa niaba ya Mwenyekiti wa Kikao hicho ambaye ni Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) Dkt. Jim Yonazi kilicholenga kujadili utendaji wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka -BRT leo 04 Agosti, 2026 kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Waziri Mkuu Jijini Dar es Salaam. Dkt. Tausi ameongoza kikao hicho kilichoratibiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu kwa lengo la kupokea na kujadili taarifa ya timu ya wataalam kuhusu utendaji wa Mradi huo ambapo imeelezwa kuwa lengo la Mradi huo ni kutatua changamoto ya msongamano wa magari katika Mkoa wa Dar es salaam kwa kuboresha huduma ya usafiri kwa Jamii. Kikao hicho kilijumuisha wataalam kutoka Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Tume ya Taifa ya Mipango, Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI, Wizara ya Fedha, Wizara ya Ujenzi, WIzara ya Uchukuzi, ...

TANZANIA'S MINISTER KOMBO BIDS FAREWELL TO OUTGOING EU AMBASSADOR CHRISTINE GRAU

 By Prosper Makene  The Minister for Foreign Affairs and East African Cooperation, Ambassador Mahmoud Thabit Kombo (MP), held a farewell meeting with the European Union Ambassador to Tanzania, Ms. Christine Grau, following the completion of her tour of duty in the country. During their discussions, Minister Kombo commended Ambassador Grau for her contribution in strengthening relations between Tanzania and the European Union, particularly in areas of development cooperation, trade and investment, the Global Gateway initiative, the private sector, as well as open dialogue between the two sides. He reaffirmed Tanzania’s commitment to continue working with the European Union on the basis of mutual respect, transparency and mutual benefit, while wishing Ambassador Grau success in her future assignments. On her part, Ambassador Grau expressed gratitude to the Government of Tanzania for the cooperation she received during her tenure in the country, and underscored the importance of ...

HESLB NA NCAA WAZINDUA MWONGOZO WA NGORONGORO SCHOLARSHIP

 *Dar es Salaam, Agosti 4, 2026* Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) leo Agosti 04, 2026 imezindua rasmi Mwongozo wa Utoaji wa Ngorongoro Scholarship, hatua inayoweka msingi wa kuanza kwa utoaji wa ufadhili maalum wa elimu ya juu kwa wanafunzi wanaotoka katika jamii zinazoishi ndani ya Hifadhi ya Ngorongoro kuanzia mwaka wa masomo 2026/2027. Akizungumza kwenye mkutano na wanahabari katika Ofisi za HESLB Kanda ya Mashariki, Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB, Dkt. Bill Kiwia, amesema uzinduzi huo ni utekelezaji wa Makubaliano ya Ushirikiano (MoU) yaliyosainiwa kati ya HESLB na NCAA tarehe 24 Oktoba, 2025, yenye lengo la kuongeza fursa za elimu ya juu kwa vijana wa Ngorongoro. "Kuanzia mwaka wa masomo 2026/2027, HESLB kwa kushirikiana na NCAA itaanza kutoa ufadhili maalum wa elimu ya juu kwa wanafunzi wanaotoka katika jamii zinazoishi ndani ya Hifadhi ya Ngorongoro. Hatua hii ni uwekezaji muhimu kat...

TANZANIA NA UFILIPINO WAJADILI MASUALA YA UJUMUISHAJI WA KIDIJITALI NA HAKI ZA BINADAMU GENEVA

 Na Prosper Makene Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Ofisi ya Umoja wa Mataifa na Mashirika mengine ya Kimataifa Geneva Balozi Dkt Hoyce Temu, amekutana na mwenzake kutoka Jamhuri ya Ufilipino, Bw. Eric Tamoya kujadili masuala mbalimbali ya ushirikiano wa pande mbili. Katika mkutano huo, pande zote mbili zimepitia ushirikiano uliopo kati ya Misioni za Nchi hizo mbili Geneva na kubadilishana mawazo juu ya maeneo mapya ya ushirikiano katika ngazi ya pande nyingi. Akizungumza katika mkutano huo, Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania ameomba msaada wa Ufilipino katika kampeni ya Tanzania ya kugombea tena uanachama wa Baraza la Muungano wa Kimataifa wa Mawasiliano, ITU, kutoka Kanda ya Afrika.  Amefafanua kuwa Baraza hilo ndilo chombo kinachosimamia shughuli za ITU kati ya Mikutano ya Wajumbe wenye Mamlaka Kamili, na lina jukumu la kusimamia sera, mipango ya kimkakati na bajeti ya Muungano huo. Hivyo, uamuzi wake una athari kubwa katika sekta ya ...

TANZANIA SEEKS PHILIPPINES SUPPORT FOR ITU COUNCIL RE-ELECTION AND UN HUMAN RIGHTS REVIEW

 By Prosper Makene Tanzania’s Deputy Permanent Representative to the United Nations in Geneva Ambassador Dr Hoyce Temu has met with her Philippine counterpart to discuss bilateral cooperation and solicit support for Tanzania’s candidacy in upcoming international processes. The Tanzanian envoy was warmly received by Mr. Eric TAMOYA, the Deputy Permanent Representative of the Philippines to the UN in Geneva. The meeting provided an opportunity to review ongoing collaboration between the two Permanent Missions and to explore new areas of partnership in multilateral diplomacy. A key item on the agenda was Tanzania’s campaign for re-election to the ITU Council under the African Region. Tanzania is seeking a second term on the Council, which serves as the governing body of the International Telecommunication Union between Plenipotentiary Conferences. The ITU Council plays a critical role in overseeing the Union’s policies, strategic planning, and budget. Its decisions directly impact glo...

TANZANIA SEEKS PHILIPPINES SUPPORT FOR ITU RE ELECTION AND UN HUMAN RIGHTS REVIEW

  By Prosper Makene Tanzania’s Deputy Permanent Representative to the United Nations in Geneva has met with her Philippine counterpart to discuss bilateral cooperation and solicit support for Tanzania’s candidacy in upcoming international processes. The Tanzanian envoy was warmly received by Mr. Eric TAMOYA, the Deputy Permanent Representative of the Philippines to the UN in Geneva. The meeting provided an opportunity to review ongoing collaboration between the two Permanent Missions and to explore new areas of partnership in multilateral diplomacy. A key item on the agenda was Tanzania’s campaign for re-election to the ITU Council under the African Region. Tanzania is seeking a second term on the Council, which serves as the governing body of the International Telecommunication Union between Plenipotentiary Conferences. The ITU Council plays a critical role in overseeing the Union’s policies, strategic planning, and budget. Its decisions directly impact global telecommunications, ...

Tanzania Seeks Philippines Support for ITU Council Re-election and UN Human Rights Review

 By Prosper Makene Tanzania’s Deputy Permanent Representative to the United Nations in Geneva has met with her Philippine counterpart to discuss bilateral cooperation and solicit support for Tanzania’s candidacy in upcoming international processes. The Tanzanian envoy was warmly received by Mr. Eric TAMOYA, the Deputy Permanent Representative of the Philippines to the UN in Geneva. The meeting provided an opportunity to review ongoing collaboration between the two Permanent Missions and to explore new areas of partnership in multilateral diplomacy. A key item on the agenda was Tanzania’s campaign for re-election to the ITU Council under the African Region. Tanzania is seeking a second term on the Council, which serves as the governing body of the International Telecommunication Union between Plenipotentiary Conferences. The ITU Council plays a critical role in overseeing the Union’s policies, strategic planning, and budget. Its decisions directly impact global telecommunications, d...

MZUMBE YAWEKEZA ZAIDI YA SH. BILIONI 15.6 KUBORESHA MIUNDOMBINU

  Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe, Prof. William Mwegoha, amesema chuo hicho kimetekeleza miradi 27 ya maendeleo yenye thamani ya takribani shilingi bilioni 15.66 katika mwaka wa fedha 2025/2026, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia, kuimarisha huduma kwa wanafunzi na watumishi pamoja na kuongeza ufanisi wa utoaji wa huduma kwa jamii. Prof. Mwegoha alisema miradi hiyo imetekelezwa katika Kampasi Kuu ya Morogoro pamoja na kampasi za Dar es Salaam na Mbeya kwa kutumia fedha za ndani, ruzuku ya Serikali na michango ya wadau wa maendeleo. Alieleza kuwa uwekezaji huo unalenga kuongeza ubora wa elimu na kukidhi ongezeko la wanafunzi wanaojiunga na chuo kila mwaka. Alitaja baadhi ya miradi iliyokamilika kuwa ni ujenzi wa majengo ya taaluma na utawala, madarasa janja, studio ya kisasa ya multimedia, ukarabati wa mabweni ya wanafunzi, ujenzi na ukarabati wa vituo vya afya, ujenzi wa barabara za ndani, uchimbaji wa visima vya maji, uwekaji wa taa za ...