Skip to main content

Posts

Showing posts from August 6, 2024

@marato_tv

@marato_tv
#sauti_ya_jamii

Takukuru Kagera Yaokoa Shilingi Milioni 4.3 Za Tasaf

  Na Angela Sebastian TAASISI ya kupamba na kuzuia Rushwa mkoani  Kagera  (TAKUKURU) imeokoa kaisia cha shilingi milioni 4.3 baada ya kupokea taarifa ya ubadhirifu wa fedha za mfuko wa maendeleo wa kunusuru  kaya maskini (TASAF) kutoka kwa wananchi wa kijiji cha Kumutana kata ya Kibimba Wilayani Ngara mkoani hapa. Ezekia Sinkala naibu mkuu wa taasisi hiyo mkoa wa Kagera alieleza hayo  leo  wakati akiongea na vyombo mbalimbali vya habari ofisini kwake mjini Bukoba wakati akitoa taarifa ya utekelezaji kwa kipindi cha Aprili hadi Juni mwaka huu. “Baada ya kufanyika uchunguzi ilibainika kuwa mnamo Septemba 20 mwaka 2020 kulikuwa na zoezi la uhaulishaji wa fedha za TASAF katika kijiji  Kumutana ambazo zilikuwa za mwezi Mei hadi Juni na mwezi Julai hadi Agosti ambapo ulikuwa mgao wa madilisha mawili kwa wanufaika 139" Amesema baada ya kufuatilia mwenendo wa ugawaji wa fedha hizo  walibaini fedha zilizokuwa zimechukuliwa na kupelekwa kijijini hapo ziliku...