📍19 Machi 2025 🗒️ Dar es salaam ➖19 Mach 2021 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ilipata Raisi wa Kwanza mwanamke Shupavu na jasiri Muongoza njia. Ametimiza miaka minne Tanzania ikiwa na mafanikio makubwa. ➖Mungu kambariki Uwezo na ameweza kuivusha nchi. Amekuja na falsafa ya 4Rs na ametekeleza kwa vitendo. ➖Tanzania imefunguka kimataifa kaleta diplomasia ya Uchumi na kuvutia wawekezaji wa nje. ➖Ameleta demokrasia katika siasa na kufungulia mariadhiano baina ya vyama vya kisiasa na mikutano ya hadhara. Amefanya maboresho sheria za vyama vya kisiasa na ameunda tume huru ya.uchaguzi ➖Amefikia hatua za mwisho kukamilisha miradi mikubwa ya kimkakati SGR, Bwawa la Mwl Nyerere na daraja la Mwanza Kigongo- Busisi. ➖Ameboresha huduma za Jamii Afya Elimu, na Maji. Na ndio Champion wa Nishati safi kaleta hamasa kubwa katika utunzaji wa mazingira. ➖Katika afya amepunguza vifo vya wajawazito na watoto chini ya miaka mitano. ➖Elimu ameboresha miundo mbi...
Marato tv - Sauti ya Jamii