Skip to main content

Posts

Showing posts from January 20, 2025

@marato_tv

@marato_tv
#sauti_ya_jamii

Waziri Mkuu kuzindua mradi wa SOFF

  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Januari 21, 2025 atazindua Mradi wa (SOFF) unaofadhiliwa na Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO).  Mradi huo unatarajiwa kuwezesha Mamlaka ya Hali ya Hewa Nchini kununua vifaa vipya na vya kisasa vitakavyoongeza ufanisi katika Utabiri wa Hali ya Hewa. Hafla hiyo inafanyika katika ukumbi wa hoteli ya Midland Inn View Dodoma.

Rais Samia ateta na Mkurugenzi Mkuu wa Who Ikulu Dodoma

   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani(WHO) Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 20 Januari, 2025.