Skip to main content

Posts

Showing posts from July 29, 2025

@marato_tv

@marato_tv
#sauti_ya_jamii

Salum Kinyoro Ateuliwa Kura za Maoni Ccm Ubunge Jimbo la Handeni Mjini

 Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimempitisha mfanyabiasha maarufu Salum Kinyoro 'Kibakuli' kupigiwa kura za maoni za ubunge wa Jimbo la Handeni mjini. Salum atachuana na wagombea wengine watano. Katibu wa Itikadi na Uenezi, Amos Makala ametangaza majina hayo leo Julai 29, 2025.