Skip to main content

Posts

Showing posts from March 20, 2026

@marato_tv

@marato_tv
#sauti_ya_jamii

A Helping Hand: Chinese Embassy in Tanzania Supports Rukwa's Healthcare with Free Clinic

By Prosper Makene  In a significant boost to the healthcare sector in Rukwa Region, a free medical clinic has been launched in Sumbawanga Municipality, bringing hope to hundreds of residents who have benefited from the services. The clinic, a result of a partnership between the Tanzanian government and the Chinese Embassy, aims to bring healthcare services closer to the people, addressing the challenges of distance and cost that have long hindered access to medical care. Located at Mazwi Health Centre, the clinic has already made a significant impact, with over 600 people receiving various services, including tests and treatment for diabetes, hypertension, bone diseases, respiratory issues, stomach ulcers, and dental problems, since its opening on March 17, 2026. The services are being provided free of charge, a move that has been welcomed by the local community. Speaking at the launch, Regional Commissioner Charles Makongoro Nyerere hailed the clinic as a significant step towards ...

Ushirikiano wa China-Tanzania: Mamia wapata Huduma za Matibabu Bure Mkoani Rukwa

Na Mwandishi Wetu.  Katika hatua kubwa ya kuboresha sekta ya afya Mkoani Rukwa, kliniki ya matibabu bure imeanzishwa katika Manispaa ya Sumbawanga, ikileta matumaini kwa mamia ya wakazi waliofaidika na huduma hizo.  Kliniki hiyo ambayo ni matokeo ya ushirikiano kati ya serikali ya Tanzania na Ubalozi wa China, imelenga kuleta huduma za afya karibu na wananchi, ikiwa ni pamoja na kuwapunguzia Wananchi changamoto za gharama ambazo zimekuwa zikizorotesha huduma za matibabu. Ikiwa katika Kituo cha Afya cha Mazwi, kliniki hiyo imekwisha piga hatua kubwa, ambapo watu zaidi ya 600 wamepata huduma mbalimbali, ikiwa ni pamoja na vipimo na matibabu ya ugonjwa wa kisukari, shinikizo la damu, magonjwa ya mifupa, matatizo ya upumuaji, vidonda vya tumbo, na matatizo ya meno, mbapo tangu ifunguliwe Machi 17, 2026. Huduma hizo zinatolewa bure, hatua ambayo imepokelewa vyema na Wananchi.  Akizungumza katika hafla ya uzinduzi, Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Charles Makongoro Nyerere, alisifu klini...

Waziri Kitila Aendelea Kuitangaza Tanzania Nchini China

  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo akihutubia Kongamano la Uwekezaji la Weihai katika Jimbo la Shandong.  Prof. Mkumbo amesisitiza kuwa katika kutekeleza Dira 2050, Tanzania inalenga kuwa na uchumi unaotegemea maarifa na ushindani wa kimataifa. Ili kufikia lengo hilo amewahimiza wawekezaji wa China kutotumia mtaji pekee, bali kuleta ujuzi wa mifumo ya kisasa ya teknologia.