BUSWELU ILEMELA 🗓️ 21/4/2025 Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa (MNEC)Ndugu Leonard Mahenda Maarufu Kwa Jina la Manguzo ameendelea kuigusa Jamii Kwa kutoa Viti Mwendo (Wheel Chair) 30 Kwa watoto wenye Ulemavu. Viti hivyo vimetolewa kwa watoto wanaolelewa katika Kituo cha Kulelea watoto yatima cha Watoto wa Africa Orphanage kilichopo Busenga, Buswelu Ilemela Mwanza Tanzania. Akisoma Risala Mkurugenzi Wa Taasisi ya Inuka Angaza Eva Samara amesema Lengo Lao ni kuhakikisha Wanapata Viti Mwendo 100 kila Mwaka. Mahende ambaye pia ni Mkurugenzi Wa QWIHAYA INTERPRISES na MNEC Taifa amekuwa akiigusa Sana Sana Jamii ya watu wenye ulemavu Kwa Kutoa Viti Mwendo 30 (Wheel Chair) na kufanya Jumla ya Viti Mwendo 36 kwenye Kituo hicho Akijibu Risala ya Mkurugenzi Wa Kituo cha Inuka Uangaze MNEC Manguzo amesema Kitendo cha kutoa Viti Mwendo 30 ni ishara ya kufufuka na Yesu Kristu kama agizo la Upendo lilitolewa na Bwana yetu Yesu Kristu. Ai...
Marato tv - Sauti ya Jamii