Skip to main content

Posts

Showing posts from December 9, 2025

@marato_tv

@marato_tv
#sauti_ya_jamii

Waziri Ndejembi awasili Ethiopia kushiriki Mkutano wa Sekta ya Nishati

 Waziri Ndejembi awasili Ethiopia kushiriki Mkutano wa Sekta ya Nishati  WAZIRI wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi leo Disemba 09, 2025 amewasili jijini Addis Ababa, Ethiopia kwa ajili ya kushiriki Kongamano la Mawaziri wa sekta ya nishati wa Nchi Wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) wenye lengo la kujadili na kuweka mikakati ya kuendeleza matumizi bora ya nishati kwa Bara la Afrika.  Kongamano hilo litafanyika jijini Addis Ababa kwa siku mbili ambapo litahusisha pia Nchi hizo wanachama wa AU kubadilishana uzoefu katika mikakati, mipango, changamoto na upatikanaji wa fedha kwa ajili ya kutekeleza ya miradi ya kuongeza ufanisi wa nishati katika bara la Afrika Katika kongamano hilo pia Mkakati na Mpango Kazi wa Matumizi Bora ya Nishati barani Afrika utazinduliwa ambao unaendana na malengo ya Mpango wa Afrika wa Mwaka 1963.  Aidha kongamano hilo la siku mbili limetanguliwa na mafunzo kwa wataalamu wa sekta ya Nishati katika kuwajengea uzoefu kwenye maeneo ya kupunguza Ma...

Jeshi la Polisi lasema hali ni shwali nchi nzima

Hali ni shwali Tanzania, Wananchi wapongeza vyombo vya ulinzi