Skip to main content

Posts

@marato_tv

@marato_tv
#sauti_ya_jamii

#top_stories

CCM AND ACT-WAZALENDO SIGN UNITY DEAL AS SAMIA, MWINYI PRAISE POLITICAL ACCORD

By Prosper Makene   Zanzibar, July 09, 2026– The Ruling Party, Chama Cha Mapinduzi (CCM) and ACT-Wazalendo have signed a unity agreement, paving the way for the implementation of a Government of National Unity in Zanzibar. The agreement was signed today at the State House Grounds in Zanzibar, following the Joint Statement of the Political Accord between the two parties.  The President of Zanzibar and Chairman of the Revolutionary Council, Dr. Hussein Ali Mwinyi said the deal demonstrates the commitment of political leaders to prioritize national interests. He noted that it will strengthen peace, unity, solidarity and development in Zanzibar. President Dr. Mwinyi stressed that the Government will continue to work with all stakeholders to ensure the process upholds stability, good governance and sustainable development. The President of the United Republic of Tanzania, Dr. Samia Suluhu Hassan, also commended the accord. She said it opens a new chapter in strengthening unity...
Recent posts

MWENYEKITI WA SERIKALI AFUNGWA MIAKA MITATU KWA KUWEZESHA RAIA WA BURUNDI KUWA MTANZANIA

  Na Angela Sebastian ;Kagera   Mahakama ya Wilaya ya Karagwe imemtia hatiani Mwenyekiti wa Kitongoji cha Chagati, Robson Andrea Nganshinga, kwa kosa la rushwa baada ya kubainika kuwa alitoa barua ya utambulisho iliyomwonyesha mtu aliyedaiwa kuwa raia wa Burundi kuwa ni Mtanzania ili apate ajira katika Kiwanda cha Kukoboa Kahawa (KDCU). Hukumu hiyo ilitolewa na Hakimu Mkazi Mwandamizi (SRM), Charles Ngonyani, katika shauri la rushwa namba 15343/2026. Akizungumza leo mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Kagera, Ismail Bukuku, amesema mshtakiwa alishtakiwa kwa kosa la rushwa kinyume na kifungu cha 15(1)(b) na (2) cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (PCCA), Sura ya 329, Toleo la Mwaka 2023. Bukuku alisema uchunguzi ulionyesha kuwa Nganshinga aliidhinisha barua ya kumtambua Fabuan John, anayefahamika pia kwa jina la Dusabimana Fabiice, kuwa ni mkazi na raia wa Tanzania, huku akijua kuwa alikuwa raia wa Burundi. Amesema lengo la barua hiyo lilikuwa kumwezesha mtu huyo kupata aji...

RAIS DKT. MWINYI: TAMKO LA PAMOJA CCM NA ACT-WAZALENDO LAFUNGUA NJIA YA UTEKELEZAJI WA SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Tamko la Pamoja kati ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na ACT-Wazalendo linafungua njia ya utekelezaji wa uundaji wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa na kuimarisha amani, umoja, mshikamano na maendeleo ya Zanzibar. Rais Dkt.Mwinyi ameyasema hayo baada ya kushuhudia utiaji wa saini wa ajenda zilizokubaliwa kwa pande zote mbili kwa ajili ya kufanyiwa kazi kufuatia Tamko la Pamoja la Muafaka wa Kisiasa Zanzibar baina ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na ACT-Wazalendo katika Viwanja vya Ikulu Zanzibar leo tarehe 09 Julai, 2026. Aidha, Rais Dkt. Mwinyi amesema maridhiano hayo yanaonesha dhamira ya viongozi kuweka mbele maslahi ya taifa, huku akisisitiza kuwa Serikali itaendelea kushirikiana na wadau wote kuhakikisha mchakato huo unadumisha utulivu, utawala bora na maendeleo endelevu. Halikadhalika, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amepongeza hatua hiyo akieleza kuwa mar...

KAGERA YAONGEZA ULINZI YA EBOLA,SHULE ZAAGIZWA KUPIMA JOTO LA WANAFUNZI WANAOREJEA KUTOKA LIKIZO

Na Angela Sebastian, Bukoba Afisa Afya wa Mkoa wa Kagera, Yassin Mwinori, amewataka wakuu wa shule na walimu wakuu wa shule zote mkoani humo kuhakikisha wanafunzi wote wanaorejea shuleni kutoka likizo wanapimwa joto la mwili mara wanapowasili, ikiwa ni sehemu ya hatua za awali za kuzuia kuingia na kusambaa kwa ugonjwa wa Ebola. Mwinori ametoa kauli hiyo leo alipokuwa akitoa elimu ya afya kwa wananchi katika maeneo mbalimbali yenye mikusanyiko ikiwemo zahanati, vituo vya afya na maeneo ya mipakani Amesema licha ya ugonjwa wa Ebola kuripotiwa katika baadhi ya nchi jirani, Mkoa wa Kagera bado uko salama na hakuna kisa chochote kilichothibitishwa hadi sasa. Amesisitiza kuwa kutokana na mwingiliano mkubwa wa watu kati ya Tanzania na Uganda, hususan wanafunzi wanaovuka mpaka kwenda kusoma pande zote mbili, ni muhimu kwa shule kuchukua tahadhari za ziada ili kuzuia uwezekano wa maambukizi. "Kwa sasa shule zimefunguliwa kuna watoto wa Tanzania wanaosoma Uganda na wa Uganda wanaosoma Tanza...

NEST YANG'ARA DUNIANI, YATWAA TUZO YA MIFUMO 20 BORA YA SERIKALI MTANDAO

   Mfumo wa Usimamizi wa Ununuzi wa Umma Kielektroniki (NeST) umeendelea kuiweka Tanzania kwenye ramani ya dunia baada ya kutunukiwa tuzo ya kimataifa na kutambuliwa kuwa miongoni mwa mifumo 20 bora ya Serikali Mtandao duniani katika Tuzo za World Summit on the Information Society (WSIS) Prizes 2026, zilizofanyika Julai 8, 2026 jijini Geneva, Uswisi. Tuzo hiyo ilikabidhiwa kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA), Bw. Dennis Simba, na Mratibu Mkuu wa Tuzo za WSIS, Bi. Gitanjali Sah, aliyemwakilisha Katibu Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Mawasiliano (ITU). Kwa mujibu wa ITU, NeST ilishinda katika kategoria ya Serikali Mtandao (e-Government), iliyoshirikisha zaidi ya mifumo 1,500 kutoka nchi 122 duniani. Mifumo hiyo ilitathminiwa kwa mchango wake katika kuimarisha uchumi shirikishi, ustawi wa jamii na maendeleo endelevu kupitia matumizi ya teknolojia. Akizungumza baada ya kupokea tuzo hiyo, Bw. Dennis Simba amesema mafanikio hayo yametokana na maono n...

NEST YANG'ARA DUNIANI, YATWAA TUZO YA MIFUMO 20 BORA YA SERIKALI MTANDAO

 Mfumo wa Usimamizi wa Ununuzi wa Umma Kielektroniki (NeST) umeendelea kuiweka Tanzania kwenye ramani ya dunia baada ya kutunukiwa tuzo ya kimataifa na kutambuliwa kuwa miongoni mwa mifumo 20 bora ya Serikali Mtandao duniani katika Tuzo za World Summit on the Information Society (WSIS) Prizes 2026, zilizofanyika Julai 8, 2026 jijini Geneva, Uswisi. Tuzo hiyo ilikabidhiwa kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA), Bw. Dennis Simba, na Mratibu Mkuu wa Tuzo za WSIS, Bi. Gitanjali Sah, aliyemwakilisha Katibu Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Mawasiliano (ITU). Kwa mujibu wa ITU, NeST ilishinda katika kategoria ya Serikali Mtandao (e-Government), iliyoshirikisha zaidi ya mifumo 1,500 kutoka nchi 122 duniani. Mifumo hiyo ilitathminiwa kwa mchango wake katika kuimarisha uchumi shirikishi, ustawi wa jamii na maendeleo endelevu kupitia matumizi ya teknolojia. Akizungumza baada ya kupokea tuzo hiyo, Bw. Dennis Simba amesema mafanikio hayo yametokana na maono na uongo...