By Prosper Makene KIGOMA — The horn of MV Liemba echoed across Lake Tanganyika again over the weekend for the first time in more than eight years, as Minister for Transport Prof. Makame Mbarawa led the first phase of technical trials of the newly rehabilitated vessel. The moment marked the beginning of what the government is calling "50 years of new voyages" for the 111-year-old ship that has for generations connected Tanzanian communities to each other and to their neighbors in Burundi, Zambia, and the Democratic Republic of Congo. The TSh 34 billion rehabilitation, fully funded by the government, has transformed the historic vessel while preserving its heritage. With testing now underway, officials say MV Liemba will resume commercial operations on September 1st this year. Minister Mbarawa boarded the ship in Kigoma to witness the start of trials, which he said are being conducted in two phases to ensure the vessel meets both national and international safety standar...
Waziri wa Uchukuzi Ashuhudia Majaribio ya MV Liemba kuashiria miaka 50 ya safari mpya Baada ya Matengenezo Makubwa
Na Prosper Makene Meli kongwe ya Mv Liemba iliyosimama kazi kwa zaidi ya miaka nane, imeanza rasmi majaribio ya kiufundi baada ya serikali kutumia shilingi bilioni 34 kufanya ukarabati na uwekezaji katika meli hiyo, inayotarajiwa kuanza safari zake September Mosi mwaka huu ikihudumia nchi jirani za Burundi, Zambia na Congo DRC. Akizungumza baada ya kufanya majaribio ya meli hiyo Waziri wa Uchukuzi Makame Mbarawa, alisema majaribio yatafanyika kwa awamu mbili jana ikiwa ni awamu ya kwanza, kabla ya majaribio ya awamu ya mwisho yatakayofanyika kati ya tarehe 19-21 Agosti mwaka huu lengo ikiwa kupima mifumo muhimu kabla ya kuanza kwake. ‘Meli ya Mv Liemba itatumika miaka 50, ikifanyiwa matengenezo ya mara kwa mara itadumu zaidi ya miaka 80, leo tumeangalia ubora wa vifaa vyote na namna itakavyoweza kumudu kipindi cha dharura”, alisema Mbarawa. Alisema meli hiyo imefanyiwa majaribio kwa viwango vya kimataifa, na baada ya hapo atakuja Wakala wa Meli Tanzania (TASAC) ili kujiridhisha ju...