By Prosper Makene A race to succeed Vice President Dr. Emmanuel John Nchimbi has officially begun following the acceptance of his resignation by President Samia Suluhu Hassan. The resignation, dated 25 August 2026, will take effect on 4 September 2026. Under Article 50(4) of the Constitution, President Samia is required to appoint a new Vice President from CCM within 14 days, subject to Parliament approval. Political observers say the choice is now attracting close attention, with the "Lake Zone factor" emerging as one of the key considerations in the succession talks due to the region’s large population and voter base. Political scientist Migani Mugabe says the Lake Zone cannot be ignored in any major political appointment. "The Lake Zone has a very large number of voters. Appointing someone from there is settling the mobilization issue early. It is a political move that CCM must consider carefully," Mugabe said. Commenting on the matter, political analyst Katyeg...
NA: MWANDISHI WETU Wazazi na walezi waishio wilayani Pangani mkoani Tanga, wamehimizwa kuwapeleka watoto wao walio chini ya umri wa miaka kumi katika vituo vya kutolea huduma ili wakapate chanjo ya ugonjwa wa Polio. Hayo yameelezwa na Mbunge wa Jimbo la Pangani kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, Agosti 25, 2026. Amesema, chanjo hiyo ni muhimu kwani inawapa watoto hao kinga dhidi ya kupooza katika ukuaji wao na hivyo kuwaimarisha kiafya. "Nitoe rai kwa wazazi na walezi, kuhakikisha wanawapeleka watoto wao kupata chanjo ya Polio kuanzia Agosti 27 hadi 30, 2026. Hii itawasaidia watoto wao kuwa na afya na ukuaji bora," amesema Aweso. Ameongeza kuwa, serikali inaandaa taifa la watu wenye afya bora, ndiyo maana inagharamia chanjo za magonjwa mbalimbali na kutoa bure kwa wananchi wake. "Serikali inataka raia wake wawe na afya njema, ndiyo maana inasimamia kikamilifu utoaji wa chanjo za magonjwa mbalimbali ukiwemo ugonjwa wa Polio. Chanjo hii ina...