Na Mwandishi wetu Jovina Massano Musoma Mwitikio mzuri wa wazazi na walezi kwa kushiriki na kuhakikisha watoto wanapata chanjo ya Polio yapaisha lengo watoto 222,076 Wilaya ya Musoma mkoani Mara wafikiwa. Wilaya mkuu wa Wilaya ya Musoma Juma Chikoka amewapongeza wazazi na walezi kwa kushiriki kikamilifu katika zoezi la utoaji Chanjo kwa watoto. Amesema katika halmashauri ya Manispaa ya Musoma idadi tarajiwa ilikuwa ni Walengwa 66,176 kutokana na mwitikio mkubwa imepelekea waliopata chanjo hiyo kufikia 77,104 sawa na 120% huku halmashauri ya Musoma Vijijini walengwa walikuwa ni 118,760 na kufikia waliochanjwa 144,972 sawa na 157%. Nae Mratibu wa Halmashauri ya Musoma DC Joseph Chacha amesema zoezi hilo limefanyika vizuri kutokana na elimu na hamasa iliyotolewa kwa wakati kwa jamii kupitia wenyeviti wa mitaa,vitongoji na vijiji na makundi mbalimbali ya kijamii. "Ushirikiano katika ngazi zote umeleta matokeo na mwitikio mkubwa kwa jamii na kupata Idadi kubwa ya watoto kupata...
By Prosper Makenea The United Republic of Tanzania and the People's Republic of China have agreed to deepen cooperation in the mining sector, with a focus on modernizing operations, expanding geological research, and building local capacity. The agreement was reached today during bilateral talks between Tanzania's Minister of Minerals, Hon. Anthony Mavunde, MP, and China's Deputy Minister of Natural Resources, Hon. Dr. Xu Dachun, held at the Government Conference Center in Tianjin. Speaking after the meeting, Hon. Mavunde said the two governments will work together to apply modern mining technology and improve systems for the issuance and management of mineral licenses. He noted that China, through the China Geological Survey, has committed to build the capacity of Tanzanian professionals in geology and in the interpretation of mineral exploration data. "The vision of our President, Her Excellency Dr. Samia Suluhu Hassan, is to see the mining sector grow and make a gre...