By Prosper Makene New York, USA– The Speaker of the Parliament of the United Republic of Tanzania, Hon. Musa Azzan Zungu, MP, has assured the Inter-Parliamentary Union (IPU) that Tanzania is fully ready to host the 153rd IPU Assembly scheduled for October 2025 in Arusha. Hon. Zungu made the assurance during a meeting with the IPU President, Hon. Dr. Tulia Ackson, MP, and the IPU Secretary General, Ambassador Anda Filip in New York, USA. The meeting focused on reviewing the status of preparations, logistical arrangements, and overall readiness ahead of the global parliamentary gathering. The Speaker expressed satisfaction with the work of the National Organizing Committee that has been coordinating the event. All logistical, protocol and security arrangements are progressing according to plan, and that Tanzania is committed to delivering a world-class Assembly that reflects Tanzanian hospitality and efficiency. Hon. Zungu emphasized that hosting the Assembly is a matter of national...
LAMU, Kenya: Baada ya kutumikia kifungo cha miaka minne gerezani, mwanamume aitwaye Mwendwa Kilatya alirejea kumtafuta Hakimu Mkazi Eugene Pascal Nabwana, aliyekuwa amemhukumu katika Mahakama ya Mpeketoni, Kaunti ya Lamu, ili kumshukuru na kumuomba msaada wa kuendelea na masomo ya chuo kikuu. Kilatya alihukumiwa kifungo cha miaka minne jela kwa kosa la wizi wa mifugo. Kabla ya hukumu hiyo, alikuwa ameacha shule akiwa Kidato cha Tatu, licha ya kuwa miongoni mwa wanafunzi waliofanya vizuri darasani. Akiwa gerezani, aliamua kurejea masomoni na kufaulu kwa matokeo mazuri, jambo lililompa matumaini ya kuendelea na elimu ya juu baada ya kumaliza kifungo chake. Baada ya kuachiwa huru, Kilatya alisafiri hadi Mahakama ya Wamunyu, Kaunti ya Machakos, ambako Hakimu Nabwana alikuwa amehamishiwa, ili kumshukuru kwa uamuzi wake ambao anasema ulimsaidia kubadili maisha yake na kumwelekeza katika njia sahihi. Akiguswa na simulizi na juhudi za Kilatya, Hakimu Nabwana aliahidi kuwashirikisha ...