…..Ni kwa kutumia kipimo cha Checkfor UTI Test Na Mwandishi Wetu Tanzania imeendelea kupiga hatua katika sekta ya afya ambapo kipimo kipya cha UTI kinachomwezesha mtu kujipima akiwa nyumbani na kugundua kuwa amepata maambukizi ya ugonjwa huo kimeanza kutumika hapa nchini. Kipimo hicho kinachojulikana kama Checkfor UTI Test kimekuwa nyenzo muhimu kwani maambukizi ya njia ya mkojo, yanayojulikana zaidi kama UTI, ni miongoni mwa changamoto za kiafya zinazowakumba watu wengi katika jamii. Hayo yalisemwa jana jijini Dar es Salaam na daktari Dk Eshton Nkala wakati akizungumzia kipimo hicho kipya cha aina yake kuanza kutumika nchini. Alisema mara nyingi, maambukizi haya huanza kwa dalili ambazo zinaweza kuonekana kuwa ndogo, ikiwemo kukojoa mara kwa mara, maumivu au muwasho wakati wa kukojoa, maumivu ya chini ya tumbo, mkojo kubadilika rangi au kuwa na harufu isiyo ya kawaida. Alisema changamoto kubwa katika udhibiti wa UTI ni kuchelewa kutambua dalili na kuchelewa kufika katika vituo v...
By Prosper Makene The IPU Executive Committee held its 300th session in Geneva, Switzerland, on 29-30 June 2026, under IPU President Dr. Tulia Ackson. The constitutional meeting coincided with International Day of Parliamentarism, observed annually on 30 June to mark the founding of the IPU. Delegates reviewed preparations for the 153rd IPU Assembly scheduled for October in Arusha, Tanzania. They also discussed the upcoming election of a new President to replace Dr. Ackson. The session featured the formal handover of the Secretary General’s office. Mr. Martin Chungong passed the “keys” of leadership to Ambassador Anda Filip, elected in April in Istanbul. Her four-year term began on 1 July 2026. Ambassador Filip is the 10th Secretary General, the first woman, and the first from Eastern Europe to lead the IPU Secretariat. The Parliament of Tanzania congratulated Ambassador Filip and pledged continued cooperation with the IPU.