By Prosper Makene, LUSAKA, Zambia Tanzania's senior female military diplomat, Colonel Bula Bulali, has concluded her four-year tour of duty in Zambia, leaving behind a legacy of strengthened defence ties and groundbreaking cooperation between the two historic allies. Col. Bulali, who has served as Tanzania's Defence Advisor accredited to the Republic of Zambia since 2022, officially bade farewell to Zambia's Ministry of Defence and its Services on Tuesday, 17th September 2026. According to a Press Statement issued by the Ministry of Defence, her tenure was marked by tangible achievements in defence diplomacy, military training, and joint cooperation. Reflecting on her service, Col. Bulali said Zambia and Tanzania had scored significant success in enhancing people-to-people ties and military collaboration. She singled out the signing of a landmark Memorandum of Understanding (MoU) between the Zambia National Service (ZNS) and Tanzania's Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) earl...
Na Mwandishi Wetu RAIS mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amewataka wanaume kujenga utamaduni wa kupima tezi dume mara kwa mara ili waweze kutibiwa mapema wanapogundulika kuwa na dalili za saratani. Alitoa wito huo jana jijini Dar es Salaam alipokuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya mwezi wa uelewa wa saratani ya tezi dume yaliyofanyika katika hospitali ya Kairuki Mikocheni. Rais Kikwete alitembelea mtambo wa kuondoa uvimbe bila upasuaji hospitalini hapo wa High Intensity Focused Ultrasound HIFU ambao unaondoa vimbe mbalimbali mwilini bila upasuaji kwa kutumia mwangwi wa sauti (Ultrasound). Alisema yeye binafsi ni mwathiriwa wa ugonjwa huo kwani baada ya kugundulika mapema mwaka 2014 alichukua hatua ya kwenda kupima vipimo vingine nchini Marekani na ilipothibitika kuwa na ugonjwa huo alikubali kufanyiwa upasuaji na mpaka sasa ni mzima wa afya. Aliwataka wanaume wasiogope kwenda kupima saratani ya tezi dume kwani teknolojia kwa sasa imekwenda mbali zaidi na ugonjwa unaweza ...