Skip to main content

Posts

@marato_tv

@marato_tv
#sauti_ya_jamii

#top_stories

MAKAMU WA RAIS AWASALIMU WANANCHI WA CHAMWINO

*AAHIDI KUFANYA KAZI KWA UADILIFU, UTII NA UZALENDO* Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius Ndejembi, amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kumpa dhamana ya kuwa msaidizi namba moja na kuahidi utii, uadilifu, uzalendo na uchapaji kazi. Makamu wa Rais amesema hayo, wakati akiwasalimu wananchi wa Jimbo la Chamwino, waliojitokeza kumpokea kwa wingi nje ya Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma, mara baada ya kuapishwa kuwa Makamu wa Rais. Amesema ataendelea kufanya kazi ya kumsaidia Mhe. Rais kwa uadilifu na kuwatumikia watanzania wote ili kuharakisha maendeleo. Aidha Makamu wa Rais amesema ataendelea kuwawakilisha vyema vijana hapa nchini na kufanya kazi kwa bidii kuhakikisha Tanzania inazidi kusonga mbele katika nyanja mbalimbali za maendeleo. Akitoa salamu zake kwa wananchi hao, Makamu wa Rais amewahakikishia kuendelea kutekeleza majukumu yake mapya kwa uadilifu, bidii na kwa kuzingatia maslahi mapana ya Taifa. “Wana s...
Recent posts

MAKAMU WA RAIS AWASALIMU WANANCHI WA CHAMWINO

  *AAHIDI KUFANYA KAZI KWA UADILIFU, UTII NA UZALENDO* Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius Ndejembi, amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kumpa dhamana ya kuwa msaidizi namba moja na kuahidi utii, uadilifu, uzalendo na uchapaji kazi. Makamu wa Rais amesema hayo, wakati akiwasalimu wananchi wa Jimbo la Chamwino, waliojitokeza kumpokea kwa wingi nje ya Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma, mara baada ya kuapishwa kuwa Makamu wa Rais. Amesema ataendelea kufanya kazi ya kumsaidia Mhe. Rais kwa uadilifu na kuwatumikia watanzania wote ili kuharakisha maendeleo. Aidha Makamu wa Rais amesema ataendelea kuwawakilisha vyema vijana hapa nchini na kufanya kazi kwa bidii kuhakikisha Tanzania inazidi kusonga mbele katika nyanja mbalimbali za maendeleo. Akitoa salamu zake kwa wananchi hao, Makamu wa Rais amewahakikishia kuendelea kutekeleza majukumu yake mapya kwa uadilifu, bidii na kwa kuzingatia maslahi mapana ya Taifa. “...

MAKAMU WA RAIS AWASALIMU WANANCHI WA CHAMWINO

*AAHIDI KUFANYA KAZI KWA UADILIFU, UTII NA UZALENDO* Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius Ndejembi, amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kumpa dhamana ya kuwa msaidizi namba moja na kuahidi utii, uadilifu, uzalendo na uchapaji kazi. Makamu wa Rais amesema hayo, wakati akiwasalimu wananchi wa Jimbo la Chamwino, waliojitokeza kumpokea kwa wingi nje ya Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma, mara baada ya kuapishwa kuwa Makamu wa Rais. Amesema ataendelea kufanya kazi ya kumsaidia Mhe. Rais kwa uadilifu na kuwatumikia watanzania wote ili kuharakisha maendeleo. Aidha Makamu wa Rais amesema ataendelea kuwawakilisha vyema vijana hapa nchini na kufanya kazi kwa bidii kuhakikisha Tanzania inazidi kusonga mbele katika nyanja mbalimbali za maendeleo. Akitoa salamu zake kwa wananchi hao, Makamu wa Rais amewahakikishia kuendelea kutekeleza majukumu yake mapya kwa uadilifu, bidii na kwa kuzingatia maslahi mapana ya Taifa. “Wana ...

RAIS SAMIA AMUASA NDEJEMBI: “CHEO SI UFALME, NI DHAMANA YA KUWATUMIKIA WATANZANIA”

 RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemtaka Makamu wa Rais, Mheshimiwa Deogratius John Ndejembi, kutambua kuwa cheo alichokabidhiwa si ufalme bali ni dhamana ya kuwatumikia Watanzania kwa uzalendo, uadilifu, bidii na uwajibikaji. Rais Dkt. Samia ametoa kauli hiyo leo, Agosti 29, 2026, katika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma, wakati akizungumza katika hafla ya kumuapisha Mheshimiwa Ndejembi kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. “Cheo si ufalme, ni dhamana. Dhamana uliyopewa ni ya kuwatumikia Watanzania,” amesema Rais Dkt. Samia. Amesema nafasi ya Makamu wa Rais inahitaji kiongozi mwenye uwezo wa kuwaunganisha wananchi, kusimamia utekelezaji wa shughuli za Serikali na kuhakikisha maslahi ya Taifa yanapewa kipaumbele katika kila hatua. Rais Dkt. Samia amesema uzoefu wa Mheshimiwa Ndejembi katika nafasi mbalimbali za uongozi alizowahi kushika Serikalini, pamoja na uwezo wake wa kujifunza, kufuatilia na kusimamia majukumu aliyope...

NDEJEMBI AAPISHWA RASMI KUWA MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Makamu wa Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Deogratius John Ndejembi, ameapishwa rasmi leo, Agosti 29, 2026, kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hafla ya uapisho imefanyika katika Ikulu ya Chamwino, jijini Dodoma, na kushuhudiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, pamoja na viongozi mbalimbali wa Serikali, vyama vya siasa na wageni wengine. Mhe. Ndejembi ameapishwa na Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. George Mcheche Masaju, huku Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akishuhudia tukio hilo. Uapisho huo unamuweka rasmi Mhe. Ndejembi katika nafasi ya Makamu wa Rais, ambapo ataanza kutekeleza majukumu ya kikatiba ya nafasi hiyo kwa kushirikiana na Rais katika kuongoza na kusimamia shughuli za Serikali pamoja na kulitumikia Taifa na wananchi wake. Hatua hiyo pia inaashiria mwanzo wa awamu mpya ya uongozi kwa Mhe. Ndejembi, akibeba jukumu muhimu la kusaidia Rais katika utekelezaji wa majukumu ya Serikali na kuhakikisha masuala ya mae...

WENYE UZITO ULIOPITILIZWA WAITWA KUFANYIWA MATIBABU

Na Mwandishi Wetu HOSPITALI ya Shifaa Pan African ya Kinondoni jijini Dar es Salaam imeandaa kambi maalum kufanya upasuaji wa kupunguza uzito kwa kutumia matundu madogo kuanzia Agosti 31 mpaka Septemba 11.  Daktari bingwa wa upasuaji wa hospitali hiyo, Kassim Bahsan alisema jana kuwa kambi hiyo itafanyika katika hospitali hiyo kuanzia Agosti 31 mwezi huu hadi Septemba 11. Alisema katika kambi hiyo wananchi watapata fursa ya kufanyiwa tathmini ya mwili na kupata ushauri wa kitaalamu wa upasuaji wa kupunguza uzito kwa kutumia teknolojia ya kisasa ya matundu madogo. “Kama umekuwa ukipambana na unene kupita kiasi na unatafuta njia salama na yenye ufanisi ya kuboresha afya yako hii ni fursa muhimu ya kuchukua hatua kuelekea maisha yenye afya bora,” alisema Dk Bahsan Alisema tarehe 4 mwezi Septemba hospitali ya Shifaa itaendesha mdahalo wa elimu kwa umma ambapo wananchi wote wanalikwa kushiriki kupata uelewa wa upasuaji wa kupunguza uzito. “Ni semina ya elimu ya kupunguza uzito, watafaha...