Na Mashaka Mhando, MWANZA SERIKALI kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, imeahidi kumaliza changamoto ya ukosefu wa taa katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, ili kuwezesha uwanja huo mkongwe kutumika kwa mechi na matamasha nyakati za usiku. Ahadi hiyo nzito imetolewa leo, Agosti 8, 2026, na Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Mhe. Hamis Mwinjuma (maarufu Mwana FA), wakati alipofanya ziara maalum ya kukagua miundombinu ya uwanja huo, huku akisisitiza kushirikiana na wadau wa michezo kutatua kero hiyo. Mhe. Mwinjuma amebainisha kuwa dhamira kuu ya Serikali ni kuhakikisha miundombinu yote ya michezo nchini inaboreshwa na kufikia viwango vinavyokidhi mahitaji ya sasa. "Moja ya changamoto kubwa iliyopo hapa Kirumba ni ukosefu wa mfumo wa taa unaowezesha uwanja kutumika kwa ufanisi nyakati za usiku. Hali hii imekuwa ikipunguza fursa za kufanyika kwa baadhi ya shughuli za michezo, hususan mechi na matukio yanayohitaji matumizi ya uwanja wakati wa usiku, naahidi hili nita...
By the OTR Reporter Dar es Salaam. Treasury Registrar Mr Nehemiah Mchechu has held talks with Trade and Development Bank (TDB) President and Managing Director Mr Admassu Tadesse on strengthening the bank’s partnership with Tanzania, with a focus on supporting economic development and unlocking greater value from public investments. The talks, held on Friday, August 7, 2026, at the Office of the Treasury Registrar (OTR) in Dar es Salaam, brought together Mr Mchechu and Mr Tadesse alongside officials from both sides to discuss opportunities for deeper cooperation in investment financing, trade and development. The engagement is of particular significance given that the Government, through the OTR, holds an 8.3 per cent stake in TDB, making Tanzania one of the bank’s shareholders. Mr Mchechu said a stronger partnership with TDB could help expand investment, trade and access to capital for projects with the potential to generate broad economic benefits. He noted that, as a regional de...