Skip to main content

Posts

Showing posts from July 6, 2025

@marato_tv

@marato_tv
#sauti_ya_jamii

Rais Samia Akihutubia Viongozi na Wananchi wa Comoro

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia viongozi mbalimbali pamoja na wananchi wa Comoro kwenye Sherehe za miaka 50 ya Uhuru wa nchi hiyo zilizofanyika katika uwanja wa Malouzini Jijini Moroni tarehe 06 Julai, 2025. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akihudhuria Sherehe za miaka 50 ya Uhuru wa Comoro leo tarehe 06 Julai, 2025. Mhe. Rais Dkt. Samia amealikwa na Rais wa Comoro Mhe. Azali Assoumani kuwa Mgeni Rasmi katika sherehe hizo.