Skip to main content

Posts

Showing posts from June 22, 2026

@marato_tv

@marato_tv
#sauti_ya_jamii

MWALUNENGE AENDELEA KUSUKUMA MAGEUZI YA UCHUMI MBEYA MJINI

 Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Patrick Adkin Mwalunenge, anaelezwa kuendelea kuweka msukumo mkubwa katika utekelezaji wa agenda ya maendeleo na mageuzi ya uchumi kwa wananchi wa jimbo hilo kupitia mikakati mbalimbali inayolenga kukuza biashara, uwekezaji, ajira na kuboresha miundombinu ya kiuchumi. Katika kipindi kifupi tangu achaguliwe kuongoza jimbo hilo, Mwalunenge ameendelea kushirikiana na wananchi kwa kushuka katika maeneo mbalimbali kusikiliza kero zao, kubaini changamoto zinazowakabili na kuzisimamia ili zipatiwe ufumbuzi.  Hatua hiyo inalenga kuhakikisha maendeleo ya jimbo yanakwenda sambamba na mahitaji halisi ya wananchi. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Ofisi ya Mbunge imejenga mfumo wa kupokea, kuchambua na kufuatilia changamoto za wananchi, huku ikielekeza nguvu katika utekelezaji wa miradi yenye tija kwa uchumi wa Mbeya Mjini na Jiji la Mbeya kwa ujumla. Miongoni mwa maeneo yanayopewa kipaumbele ni kukuza biashara za Mbeya ili ziweze kufikia masoko ya kitaifa na ki...

PRESIDENT NDAITWAH DEPARTS TANZANIA AFTER COMPLETING A THREE-DAY STATE VISIT

   The President of the Republic of Namibia, H.E. Dr. Netumbo Nandi-Ndaitwah, has departed Tanzania after successfully concluding her three-day State Visit to the country, which took place from 19 to 21 June 2026. At Julius Nyerere International Airport in Dar es Salaam, President Nandi-Ndaitwah was seen off by the Minister for Foreign Affairs and East African Cooperation, Ambassador Mahmoud Thabit Kombo, alongside other government leaders, diplomats, and senior officials. During her visit, President Ndaitwah held official talks with the President of the United Republic of Tanzania, H.E. Dr. Samia Suluhu Hassan, aimed at strengthening cooperation in various sectors, including trade, investment, education, agriculture, energy, and social development.  The two leaders also exchanged views on regional and international issues, emphasizing the importance of African solidarity in addressing development challenges and the evolving global economic landscape. President Nandi-Ndai...

PRESIDENT NDAITWAH DEPARTS TANZANIA AFTER COMPLETING A THREE-DAY STATE VISIT

 The President of the Republic of Namibia, H.E. Dr. Netumbo Nandi-Ndaitwah, has departed Tanzania after successfully concluding her three-day State Visit to the country, which took place from 19 to 21 June 2026. At Julius Nyerere International Airport in Dar es Salaam, President Nandi-Ndaitwah was seen off by the Minister for Foreign Affairs and East African Cooperation, Ambassador Mahmoud Thabit Kombo, alongside other government leaders, diplomats, and senior officials. During her visit, President Ndaitwah held official talks with the President of the United Republic of Tanzania, H.E. Dr. Samia Suluhu Hassan, aimed at strengthening cooperation in various sectors, including trade, investment, education, agriculture, energy, and social development.  The two leaders also exchanged views on regional and international issues, emphasizing the importance of African solidarity in addressing development challenges and the evolving global economic landscape. President Nandi-Ndaitwah pa...

SILLO: BUNGE GRAND BONANZA LAKUZA HAMASA YA AFCON 2027

 NAIBU Spika wa Bunge, Daniel Sillo amesema Tamasha la Bunge Grand Bonanza 2026 limekuwa jukwaa muhimu la kutangaza utayari wa Tanzania kuandaa Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027 na kuhamasisha Watanzania kushiriki kikamilifu katika maandalizi yake. Akizungumza kabla ya kukabidhi zawadi kwa washindi wa michezo mbalimbali katika bonanza hilo lililofanyika Uwanja wa Jamhuri, jijini Dodoma, Mhe. Sillo amesema kaulimbiu ya "Pamoja AFCON, Tanzania Tuko Tayari" inalenga kuujulisha ulimwengu kuwa Tanzania ipo tayari kuwa mwenyeji wa mashindano hayo makubwa, huku ikiwakaribisha wageni kutoka mataifa mbalimbali kupitia mabalozi waliopo nchini. Amesisitiza kuwa Bunge linaipongeza Serikali kwa hatua za maandalizi ya AFCON 2027 na litaendelea kushirikiana nayo kuhakikisha mashindano hayo yanafanyika kwa mafanikio makubwa, sambamba na kuacha urithi wa maendeleo kwa sekta ya michezo na uchumi wa nchi. Mhe. Sillo pia amesema Bunge Grand Bonanza limeendelea kuwa chachu ya ...

BANDA LA TUME YA MADINI LAGEUKA KIVUTIO KATIKA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

 📍DODOMA Banda la Tume ya Madini limeendelea kuwa kivutio kikubwa kwa mamia ya wananchi wanaotembelea Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea katika Viwanja vya Chinangali Park jijini Dodoma, huku wengi wakijitokeza kupata elimu kuhusu sekta ya madini, huduma zinazotolewa na Tume pamoja na fursa zilizopo katika shughuli za utafutaji, uchimbaji na biashara ya madini. Miongoni mwa waliotembelea banda hilo ni Lusajo Luena kutoka Dodoma, ambaye amesema elimu aliyoipata imemwezesha kuelewa taratibu za upatikanaji wa leseni za madini na wajibu wa wamiliki wa leseni katika kuendeleza maeneo yao ya uchimbaji. "Kabla ya kufika hapa sikuwa na uelewa wa kina kuhusu namna leseni za madini zinavyotolewa na kusimamiwa. Leo nimepata elimu ya kutosha kuhusu taratibu mbalimbali na umuhimu wa kuzingatia sheria za madini," amesema Luena. Kwa upande wake, Joyce Kitundu kutoka Dodoma amesema maelezo aliyopata katika banda hilo yamemsaidia kufahamu mchango mkubwa wa sekta ya madini ka...