Skip to main content

Posts

@marato_tv

@marato_tv
#sauti_ya_jamii

UCHAGUZI CCM TANGA:MWANAFA AMPIGIA DEBE USTADH RAJAB

📍Awaonya wajumbe wasifanye ushabiki wa Messi na Ronaldo Na Mashaka Mhando, Muheza  MBUNGE wa Jimbo la Muheza ambaye pia ni Naibu Waziri wa Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Hamis Mwinjuma 'MwanaFA', amewataka wajumbe wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wilayani humo kutopepesa macho wala kubabaika linapokuja suala la kumchagua Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tanga katika uchaguzi mkuu wa chama hicho mwakani. MwanaFA ametoa kauli hiyo Leo Julai 23 wakati akizungumza na Wana-CCM wa kata za Kwakifua na Tingeni, ambapo ametumia jukwaa hilo kumpigia debe zito Mwenyekiti wa sasa wa mkoa huo, Ustadh Rajab Abdallah, akieleza kuwa rekodi ya kazi zake za kukijenga chama haijawahi kufikiwa na kiongozi yeyote nchini. *Rekodi Zilizompa Kiki Ustadh Rajab* Akijenga hoja ya kwanini wajumbe hawapaswi kufanya makosa, Mhe. Mwinjuma aliwataka wanachama hao kutaja mwenyekiti yeyote nchini aliyewahi kujenga nyumba za watumishi wa chama kila wilaya, ambapo wajumbe walijibu "hakuna." "Hebu n...

RC TABORA AONYA WANAOKWAMISHA MIRADI

 Na Allan Kitwe, Tabora WAKURUGENZI wa Halmashauri zote Mkoani Tabora wametakiwa kuchukua hatua stahiki kwa Mkandarasi au Mtaalamu yeyote atakayebainika kukwamisha utekelezaji miradi ya maendeleo inayogharamiwa na serikali katika maeneo yao. Onyo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa huo Paul Chacha kupitia kwa Katibu Tawala (RAS) Dkt John Mboya alipokuwa akiongea na Wakuu wa Disivison na Vitengo, Watendaji na Madiwani wa halmashauri ya manispaa ya Tabora. Ameeleza kuwa serikali ya Awamu ya Sita imeleta fedha nyingi sana katika Mkoa huo kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo ujenzi wa soko kuu na stendi mpya ya kisasa Mjini Tabora, miradi hii ni muhimu sana. ‘Miradi yote inayotekelezwa hapa Tabora tunataka itekelezwe kwa weledi na ufanisi mkubwa, na thamani ya fedha ionekane kwa kila mradi, katika hili mkandarasi au msimamizi yeyote atakayezembea, atakiona cha moto', ameeleza. RC amesisitiza kuwa wanataka kwenda na kasi ya viwango katika suala zima la utekelezaji ...

GHANA SHARES LOCAL CONTENT SUCCESS STORY AT FIFTH LOCAL CONTENT COMPLIANCE FORUM

 MWANZA Ghana has shared its experience and key strategies behind the successful implementation of local content policies in the mining sector, highlighting strong legislation, stakeholder collaboration, value addition and incentives as critical factors in increasing local participation. Speaking during the Fifth Local Content Compliance Forum (LCCF 2026) in Mwanza, the Deputy Chief Executive Officer (Policy, Planning, Mineral Titles and Local Content) at the Minerals Commission of Ghana, Victoria Awuni, said Ghana's success had been driven by the establishment of clear laws, regulations and policies aimed at ensuring greater participation of local businesses in the mining value chain. Awuni said Ghana had developed policies, including a 2030 policy framework, to ensure that mining operators increasingly contribute to the country's economic development by adding value to minerals before they are exported. She noted that, although only a few mining companies were currently under...

MASAUNI: MUUNGANO SI JAMBO LA KUCHEZEWA, WATANZANIA WAUTUNZE

 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amesema, kati ya jambo ambalo halipaswi kuchezewa ni Muungano ambao unatakiwa kulindwa na kila mmoja maana ndio alama kubwa ya Tanzania. Mhe. Masauni ameyasema hayo wilayani Bagamoyo mkoani Pwani katika ziara yake ya kikazi aliyoifanya Julai 22, 2026 akieleza kufurahishwa na shughuli za maendeleo katika Mkoa wa Pwani zinazofanyika ambazo zinaunganisha na Zanzibar ikiwemo bandari. "Fursa ya Muungano inatakiwa kusaidia pande zote bara na Zanzibar na katika hili itakuwa inasaidia zaidi kwenye sekta ya utalii kwani mtalii anapokuja Zanzibar anaunganisha na Bagamoyo kwenye hifadhi ya Saadani," amesema. Kadhalika amewataka vijana kuwa makini na matumizi ya mitandao ya kijamii katika kipindi hiki cha utandawazi kutokana na kuwepo kwa upotoshaji mkubwa unaofanywa na baadhi ya vijana. Amewataka kutumia mitandao ya kijamii kwa mambo ambayo yatakuwa na faida kwao hususani kujifunza mbinu ...

TUME YA MADINI YAJIPANGA KUONGEZA USHIRIKI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI*

_Dkt. Numbi atoa somo kutoka Ghana kuhusu usimamizi wa ushirikishwaji wa wazawa katika Sekta ya Madini_ 📍MWANZA Tume ya Madini imejipanga kuimarisha usimamizi wa ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini kwa kuhakikisha watoa huduma na wazalishaji wa bidhaa wanakidhi vigezo na viwango vya ubora vinavyohitajika, hatua inayolenga kuongeza mchango wa sekta hiyo katika ukuaji wa uchumi wa nchi. Hayo yamesemwa leo, Julai 23, 2026, jijini Mwanza na Mwenyekiti wa Kamati ya Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini, Dkt. Theresia Numbi, kwenye Jukwaa la Tano la Utekelezaji wa Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini (LCCF 2026), linalowakutanisha wadau mbalimbali wa sekta hiyo. Dkt. Numbi amesema Tume itaendelea kuboresha usimamizi wa eneo la ushirikishwaji wa Watanzania ili kuhakikisha wananchi wanapata fursa zaidi za kushiriki katika shughuli za uchimbaji wa madini, utoaji wa huduma, uzalishaji wa bidhaa na maeneo mengine ya mnyororo wa thamani wa Sekta ya Mad...

TANZANIA TO GRACE AFRICA BEE EXPO IN ALGERIA

Tanzania has accepted an invitation to be the guest of honour at the opening of the Africa Bee Expo 2026 to be held in Algiers, Algeria, from 3-6 September, 2026. Speaking to Algerian television journalists at the Tanzanian Embassy in Algiers, Ambassador Mobhare Matinyi said the Minister of Natural Resources and Tourism, Hon. Dr. Ashatu Kijaji, will open the exhibition on behalf of the Government of the United Republic of Tanzania. Ambassador Matinyi said Hon. Minister Dr. Kijaji will pay an official visit to Algeria leading a delegation of senior government officials and experts as well as stakeholders from the private sector who are involved in the whole industry of beekeeping in the country. Ambassador Matinyi said the government attaches special importance to the beekeeping sector as it employs about two million people in the country and generates US$77.5 million (205 Tanzania billion shillings) per year from the export of honey and beeswax to various countries around the world. Ci...