Skip to main content

@marato_tv

@marato_tv
#sauti_ya_jamii

Kamati ya maadili yakesha kukata mzizi wa fitina kwa watia nia ubunge ccm

Kikao cha Kamati ya Maadili ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kikiendelea muda huu majira ya saa nane usiku chini ya Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kupitia na kuchuja majina ya wagombea Jijini Dodoma tarehe 28 Julai, 2025.







Comments