Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Septemba 16, 2024 amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Baraza la Maulid yanayofanyika kitaifa mkoani Geita kwenye ukumbi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Nyankumbu.
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.