Masauni Akutana na Kufanya Mazungumzo na Balozi wa Quatar Nchini Tanzania

GEORGE MARATO TV
0



Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Qatar nchini Tanzania,Fahad Rashid Al Murikhi(kushoto).Mazungumzo hayo yaliyohusu ushirikiano wa nchi hizo mbili katika kuimarisha masuala ya Ulinzi na Usalama yamefanyika Makao Makuu ndogo ya wizara hiyo,jijini Dar es Salaam.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top