Kesho Mheshimiwa Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye Jubilei ya Askofu Msaidizi Methodius Kilaini itakayofanyika kwenye Kanisa Kuu Jimbo la Bukoba.
Rais wa Jamhuri ya Kenya Mh William Rutto na mke wake wamewasili nchini China kuhudhuria mkutano wa wakuu wa nchi na Serikali wa Jukwaa la ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC). Katika ziara hiyo ameambatana na waziri mkuu mstaafu wa nchi hiyo Raila Odinga ambaye pia anapigiwa kampeni ili aweze kushinda nafasi ya Uenyekiti wa AU.





Comments
Post a Comment