Waziri Mkuu akizungumza na wananchi wa Makambako Mkoani Njombe

GEORGE MARATO TV
0


 WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, akiwasalimia wananchi wa Idofi, wilayani Makambako, mkoani Njombe, ambako amepokea taarifa ya mradi wa umwagiliaji na soko la mbogamboga, pamoja na kusikiliza changamoto mbalimbali za wananchi wa eneo hilo.

Waziri Mkuu ameanza ziara yake leo, Mei 2, 2026, katika mikoa ya Iringa na Njombe.




Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top