Rais Samia Awapa Tano wafanyakazi wa Tanzania

GEORGE MARATO TV
0






Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwapungia mkono Wafanyakazi waliokuwa wakipita mbele ya Jukwaa Kuu katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi 2026), ambayo Kitaifa yamefanyika Mkoani Njombe, tarehe 01 Mei, 2026.










Wafanyakazi wa Wizara mbalimbali, Taasisi za umma na binafsi wakipita mbele ya Jukwaa Kuu katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi 2026) ambayo Kitaifa yamefanyika Mkoani Njombe, tarehe 01 Mei, 2026.

 








Wafanyakazi wa Wizara mbalimbali, Taasisi za umma na binafsi wakipita na magari wanayoyatumia katika shughuli zao za kila siku, mbele ya Jukwaa Kuu kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi 2026) ambayo Kitaifa yamefanyika Mkoani Njombe, tarehe 01 Mei, 2026.






Wafanyakazi wa Wizara mbalimbali, Taasisi za umma na binafsi wakiwa kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi 2026) ambayo Kitaifa yamefanyika Mkoani Njombe, tarehe 01 Mei, 2026.


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top