Rais Samia amkabidhi Waziri Nyansaho Kombe la ubingwa
May 01, 2026
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Rhimo Simeon Nyansaho Kombe la Ubingwa wa jumla wa Michezo ya Mei Mosi katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi 2026), Mkoani Njombe tarehe 01 Mei, 2026.
Share to other apps

