Waziri Mkuu ahani msiba wa Mstahiki Meya Mstaafu wa Jiji la Zanzibar

GEORGE MARATO TV
0


Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Aprili 7, 2026, amehani msiba wa  Mstahiki Meya Mstaafu wa Jiji la Zanzibar, Marehemu Mahmoud Muhammed Mussa, nyumbani kwa marehemu  Zanzibar.

Marehemu Mahmoud Muhammed Mussa alifariki Aprili 6, 2026. Wakati wa uhai wake, aliwahi kushika nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya Chama Cha Mapinduzi na Serikali, ikiwa ni pamoja na kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wawakilishi (BLW).






Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top