Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Aprili 22, 2026 amewasili mkoani Arusha, ambapo anatarajiwa kufungua mkutano wa Jumuiya ya Serikali za Mitaa Tanzania (ALAT), unaofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC)
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.



