Dkt. Mwigulu Awasili Mkoani Katavi Kwa Ziara ya Kikazi

GEORGE MARATO TV
0


WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Machi 12, 2026 amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Mpanda mkoani Katavi, kwa ajili ya kuanza ziara ya kikazi mkoani humo.

Katika ziara hiyo inayotarajiwa kuanza rasmi kesho Machi 13, 2026, Mheshimiwa Dkt. Mwigulu atakagua utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo pamoja na kuzungumza na wananchi.






Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top