Balozi Dkt Nchimbi Mgeni Rasmi Maadhimiho Siku ya Misitu Diniani, Kitaifa Mkoani Lindi

GEORGE MARATO TV
0

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akisalimiana na Viongozi mbalimbali wakati akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Mtwara, ili kuelekea mkoani Lindi, leo tarehe 18 Machi 2026.
 
Makamu wa Rais anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Ufunguzi wa Maadhimisho ya Siku ya Misitu Duniani na Kampeni ya Upandaji Miti Kitaifa, itakayofanyika mkoani Lindi, kesho tarehe 19 Machi 2026.








Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top