Ziara hiyo inalenga kuimarisha ushirikiano wa kimkakati katika sekta ya michezo, hususan maendeleo ya mpira wa miguu barani Afrika na nafasi ya Tanzania katika michuano na programu mbalimbali zinazosimamiwa na CAF.
Ziara hiyo inalenga kuimarisha ushirikiano wa kimkakati katika sekta ya michezo, hususan maendeleo ya mpira wa miguu barani Afrika na nafasi ya Tanzania katika michuano na programu mbalimbali zinazosimamiwa na CAF.