Waziri Makonda Awasili Nchini Morocco Kuwasilisha Ujumbe wa Rais Samia

GEORGE MARATO TV
0

 


Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amewasili nchini Morocco kwa ziara maalum ya kikazi akiwa na jukumu la kuwasilisha ujumbe maalum kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dk. Samia Suluhu Hassan, kwenda kwa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), Dk. Patrice Motsepe.

Ziara hiyo inalenga kuimarisha ushirikiano wa kimkakati katika sekta ya michezo, hususan maendeleo ya mpira wa miguu barani Afrika na nafasi ya Tanzania katika michuano na programu mbalimbali zinazosimamiwa na CAF.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top