Waziri Mkuu Mwigulu Akipongezwa Na Waziri Mkuu Mstaafu Kassim Majaliwa
GEORGE MARATO TV
November 14, 2025
0
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba akipongezwa na Waziri Mkuu Mstaafu Kassim Majaliwa baada ya uapisho uliofanyika Chamwino Ikulu jijini Dodoma Novemba 14, 2025.