Spika wa Bunge, Mhe. Mussa Azzan Zungu amefungua Mafunzo kwa Waheshimiwa Wabunge leo Novemba 17, 2025 Jijini Dodoma

GEORGE MARATO TV
0


Mafunzo hayo ya siku tano yanalenga kuwajengea uwezo Waheshimiwa Wabunge kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo Uendeshaji wa Shughuli za Bunge, Umuhimu wa Kamati za Bunge katika kufanikisha Shughuli za Bunge na Maadili ya Viongozi.










Masuala mengine ni kuhusu Haki na Wajibu wa Wabunge, Diplomasia na Itifaki za Kibunge pamoja na Mahusiano ya kazi baina ya Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Bunge.








Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top