Mwanajeshi wa Marekani Akamatwa Akiingia Tanzania na Mabomu Hatari

GEORGE MARATO TV
0


Pichani ni Charles Onkuri Ongeta(30) ambaye ni Mwanajeshi wa Jeshi la Marekani mwenye cheo cha Sajenti, ambaye amekamatwa na polisi wa Tanzania akitokea nchini Kenya kuingia nchini Tanzania akiwa na mabomu manne ya kurusha aina ya CS M68.




Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top