MGOMBEA mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi Dkt.Nchimbi Kuwahutubia Wananchi Sumbawanga Mjini kwenye uwanja wa Majengo,Jimbo la Sumbawanga mjini kwa ajili ya kuwahutubia Wananchi kwenye mkutano wake wa Kampeni leo Septemba 9,2025 mkoani Rukwa.
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.