Mwili Wa Mzee Cleopa David Msuya Wafikishwa Nyumbani Kwake Upanga Dar Es Salaam

GEORGE MARATO TV
0

 


Mwili wa Hayati Mhe. Cleopa David Msuya, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mstaafu na Waziri Mkuu mstaafu ukiwasili nyumbani kwake Upanga jijini Dar es Salaam ambapo unapokelewa na familia, ukitokea Hospitali ya Jeshi, Lugalo, leo Mei 10, 2025.









Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top