Wabunge wampongeza Dkt.Biteko Bajeti kupita kwa kishindo

GEORGE MARATO TV
0

 


Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko pamoja na Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga wakipongezwa na Wabunge mbalimbali mara baada ya Bunge kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Nishati kwa Mwaka 2025/2026. #IMEPITA #BAJETI2025/2026





Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top