Mbunge Mathayo akabidhi Dawati na Meza 50 Kwa Moja ya Shule ya Sekondari

GEORGE MARATO TV
0


Mbunge wa Jimbo la Musoma Mjini Mhe Vedastus Mathayo Leo 14/01/2025 amekabidhi madawati 50 na meza 50, Shule ya Sekondari Mwiyale iliyopo kata ya Kigeara katika halmashauri ya Manispaa  ya Musoma Mkoani Mara. 

Dawati na meza hizo vimekabidhiwa na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Musoma, Mhe Williamu Patrick Gumbo kwa niaba ya mbunge  Mathayo ambaye kwa sasa yupo mjini Bungeni kwa shughuli za Bunge.



Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top