Waziri Mkuu na Mjumbe wa Kamati Kuu Ccm awasili Jimbo la Busega

GEORGE MARATO TV
0


 Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Kassim Majaliwa leo Desemba 22, 2024 ni Mgeni Rasmi kwenye mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Jimbo Busega, unaofanyika katika viwanja vya Shule ya Sekondari Simba wa Yuda, Wilaya ya Busega mkoani Simiyu.








Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top