Waziri Kikwete ateta na Waziri wa vijana wa smz

GEORGE MARATO TV
0


 Waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu,Kazi,Vijana,Ajira na Wenye ulemavu Ridhiwani Kikwete amekutana na kufanya Mazungumzo na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Tabia Mwita. 

Mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere, Dar Es Salaam ambapo mkutano wa Vijana na Amani unafanyika.




Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top