Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Mfungwa Bw. Lista Chisoma ambaye amepata ujuzi wa kushona bidhaa mbalimbali za ngozi na vitambaa wakati akiwa gerezani, katika Chuo cha Taaluma ya Urekebishaji Tanzania (TCT) Ukonga Jijini Dar es Salaam tarehe 09 Mei, 2026.
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
