Heche aongoza Harambee ya Ujenzi wa Ofisi ya Jimbo Wilayani Bunda

GEORGE MARATO TV
0


 Mhe. @HecheJohn leo Aprili 10, 2026 akiwa Bunda, Mkoa wa Mara, ameongoza harambee ya ujenzi wa Ofisi ya Chama Jimbo la Bunda Mjini ambapo jumla ya shilingi milioni 15 zimepatikana.

Aidha, amepokea wanachama wapya na kuwakabidhi kadi ya uanachama.





Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top