Waziri Mkuu Wateta na Spika wa Bunge wakiwa Uwanja wa ndege
April 30, 2026
0
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Zungu walipokutana katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, wakielekea Dodoma, leo tarehe 30 Aprili, 2026.
Share to other apps



