Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba ametembelea Ofisi za Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Tanga kwa lengo la kusalimia Viongozi wa Chama hicho kabla ya kuendelea na ziara zake za kikazi leo tarehe 15 Februari, 2026.
Waziri Mkuu Atembelea Ofisi za CCM Mkoa wa Tanga
February 15, 2026
0
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba ametembelea Ofisi za Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Tanga kwa lengo la kusalimia Viongozi wa Chama hicho kabla ya kuendelea na ziara zake za kikazi leo tarehe 15 Februari, 2026.
Share to other apps





