Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha, Thomas Ole Sabaya akimvalisha Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba, vazi la utamaduni wa kimasai ikiwa ni ishara ya kumvika hadhi ya Laigwanan ambaye ni kiongozi wa kimila wa jamii ya kimaasai leo tarehe 22 Februari, 2026 wakati akikaribishwa kwa ziara zake za kikazi zilizoanza rasmi leo mkoani humo.
Waziri Mkuu Apewa Heshima Kwa Kuvishwa Vazi la Tamaduni za Kimasai
February 22, 2026
0
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha, Thomas Ole Sabaya akimvalisha Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba, vazi la utamaduni wa kimasai ikiwa ni ishara ya kumvika hadhi ya Laigwanan ambaye ni kiongozi wa kimila wa jamii ya kimaasai leo tarehe 22 Februari, 2026 wakati akikaribishwa kwa ziara zake za kikazi zilizoanza rasmi leo mkoani humo.
Share to other apps



