Rais Samia Akiondoka Nchini Ethiopia

GEORGE MARATO TV
0


 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiondoka katika Uwanja wa Ndege wa Bole Jijini Addis Ababa Nchini Ethiopia leo February 15, 2026 kurejea Nchini Tanzania baada ya kumalizika kwa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Umoja wa Afrika (AU).







Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top