Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiondoka katika Uwanja wa Ndege wa Bole Jijini Addis Ababa Nchini Ethiopia leo February 15, 2026 kurejea Nchini Tanzania baada ya kumalizika kwa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Umoja wa Afrika (AU).
Rais Samia Akiondoka Nchini Ethiopia
February 15, 2026
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiondoka katika Uwanja wa Ndege wa Bole Jijini Addis Ababa Nchini Ethiopia leo February 15, 2026 kurejea Nchini Tanzania baada ya kumalizika kwa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Umoja wa Afrika (AU).
Share to other apps




