Rais Samia Afanya Mazungumzo na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa

GEORGE MARATO TV
0


 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Bi. Amina Mohammed , tarehe 15 Februari, 2026 jijini Addis Ababa Ethiopia

Rais Dkt. Samia yupo nchini humo kwa ziara ya kikazi ya siku nne ambapo, pamoja na shughuli nyingine, alishiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU) uliofanyika tarehe 14 na 15 Februari 2026.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top