Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Akutana na Kufanya Mazungumzo na Balozi wa India Nchini Tanzania

GEORGE MARATO TV
0


Waziri wa ulinzi na JKT mheshimiwa Dkt Rhimo Nyansaho (Mb) , tarehe 02 Januari 2026 amekutana na kufanya mazungumzo na balozi wa India nchini Tanzania , Mheshimiwa Bishwadip Dey katika ofisi ndogo za wizara ya ulinzi na jeshi la kujenga Taifa Upanga jijini Dar-es-salaam.





Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top