Dkt. Mwigulu Afanya Mazungumzo na Mhandisi Masauni

GEORGE MARATO TV
0


Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 20,2026 amefanya mazungumzo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Muungano na Mazingira, Mhandisi Hamadi Masauni, ofisini kwa Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma.

Viongozi wengine walioshiriki katika mazungumzo hayo ni Naibu Waziri  Ofisi ya Makamu wa Rais -  Muungano na Mazingira, Dkt. Festo Dugange na Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais  - Muungano na Mazingira, Dkt. Richard Muyungi.



Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top