Katibu Mkuu wa Ccm Ashiriki Mkutano wa Wazee na Rais Samia
December 02, 2025
0
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt.Asha-Rose Migiro ameshiriki mkutano wa Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam uliofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), leo Jumanne,Desemba 2,2025 Jijini Dar es Salaam.
Share to other apps






