Shamra shamra za mapokezi ya Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Nyamagana mkoani Mwanza tarehe 08 Oktoba, 2025.
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.










