Picha mbalimbali za mkutano wa kampeni wa Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel John Nchimbi uliofanyika kata ya Itobo katika Jimbo la Bukene, mkoani Tabora leo Oktoba 4, 2025.
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.











