Skip to main content

@marato_tv

@marato_tv
#sauti_ya_jamii

Dkt Samia Awaomba Kura Wananchi wa Babati

Mgombea nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Taifa akizungumza na Wananchi na Wanachama wa CCM wa Babati katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa Chama hicho Mkoani Manyara tarehe 04 Octoba, 2025.












































Comments