Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt, Samia Suluhu Hassan katika Matukio tofauti ya Picha aliposhiriki ibada ya kuaga Mwili wa aliekuwa Spika wa Bunge la Tanzania Hayati. Job Ndugai katika Viwanja vya Bunge Mjini Dodoma leo August 10,2025.
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.