Skip to main content

@marato_tv

@marato_tv
#sauti_ya_jamii

Shughuli za Mazishi ya Mhandisi Gissima Nyamo-honga


 Matukio mbalimbali katika shughuli za Mazishi ya aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga. Mazishi hayo yanafanyika nyumbani kwake eneo la Migungani, Bunda Mkoani Mara leo tarehe 16 Aprili, 2025.











Comments