Matukio mbalimbali katika shughuli za Mazishi ya aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga. Mazishi hayo yanafanyika nyumbani kwake eneo la Migungani, Bunda Mkoani Mara leo tarehe 16 Aprili, 2025.
Shughuli za Mazishi ya Mhandisi Gissima Nyamo-honga
April 16, 2025
0
Matukio mbalimbali katika shughuli za Mazishi ya aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga. Mazishi hayo yanafanyika nyumbani kwake eneo la Migungani, Bunda Mkoani Mara leo tarehe 16 Aprili, 2025.
Share to other apps