Uchaguzi......
Oktoba,uchaguzi mkuu ni jambo la katiba kila baads ya miaka mitano,Watanzania wenye sifa za kisheria kuruhusiwa kupiga kura,
Sasa ubushi huu hata mimi nimeusikia,kama hakuna sheria za uchaguzi basi uchaguzi usiwepi
Huo ni ubishi,vinabishana vyama vya siasa vipo kwa kw mujibu wa katiba,mambo ya siasa nchi kuongozwa na vyama na vina viongozi na vina wanachana.....huo ni ubishi,wanabushana kuhusu utaratibu wa kufanya jambo,Ni kitu gani kinafanya watanzania wanyang'anywe haki yao ya kupiga kura na miaka mitano imefika
Huu ubishi si mzuri kwa wakati huu,kama hatutachagua lazima tuwe na serikali ambayo si halali
Kuwa na serikali iliyochaguliwa...Watanzania waruhusuwe kupiga kura,hiyo nafasi isizuiwe lazima watanzania waruhusuwe kupiga kura
Watu warusiwe katika uhuru wapige kura
Rushwa,wagombea wanatos rushwa,nashauri watanzania wachukue pesa kisa wawanyime kura
Kudai serikali inatimia mabavu
Ubishi usimamizi ni watu gani.....walimu,
Yoyote atakayeruhusiwa kusimamia...kwa nini ufanye jambo litakalosababisha watanzania wakose haki yao
Wasimamizi wafuate utaratibu pia Wagombea wafuate utaratibu
Viongozi wa dini,uchaguzi uliopita hakuwrnda vizuri
......Nafasi ya Watanzania kuchagua viongozi wso ni jambo kubwa ,lisizuiwe wawape Watanzania haki kuchagua viongozi wao,tusitumie Kasoro kuzuia jambo kubwa la uchaguzi,baada ya uchaguzi tupate mafai ya kuyazungumza
Rushwa isituzuie kwenda kwenye uchaguzi
Umasikini.....
Umasikini tulionao...haujasababishwa na ccm,chama ni uongozi
Tangu uhuru serikali imetokana na Tanu pia CCM
Mwl Nyerere aliwataja maadui..imasikini,ujinga na maladhi mwaka 62 katika hotuba yake bungeni bunge la kwanza kabisa
Umasikini upo....umasikininunatokewannabkufanya kazi,ukiwa na elimu na ujuzi unaweza kuondokana na umasikini
Bado hatujaweza kutumia watu wenye uwezo hatujaweza kuzalisha bado hatujaondoa ujinga
.....Tusilaumiane umasikini haundoleweli na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Chama hiki....ccm.wanawajibika kuangalia hali ya umasikini
Kila Mtanzania tuna wajibu kufanya kazi kuondoa umasikini,viongozi pia wana wajibu kujipanga zaidi
Tusiuze Ardhi kama kanzu..
Hatujatumia sheria katika matumizi ya ardhi ya vijiji
Ugomvi wananchi vijijini ni ardhi kazi ya serikali
Watanzania waache kulalamika....lazima tukubali kufanya kazi
....Kuhusu uteuzi wa mama Samia.....
CCM kimetenda na kimenena....utaratibu ulifuatwa ingawa uligeuka kidogo
Mkutano mkuu baada ya kufanya uamuzi,taratibu sasa zilifuatwa,
Utaratibu ulifuatwa nje ya mazoea lakini taratibu zote zimefuatwa na hoja zimetolewa adharani
KATIKA CCM mnapokuwa na Rais wa JMT au Zanzibar
Sidhani hata mtu angejitikeza angeweza kumshinda mama Samia
Kwa chama tayari tulipanga
Deni la Taifa......
Hakuna sababu serikali na Bunge wanaruhusu hilo litokee
Hii si mara ya kwanza,mwl Nyerere ilikuwa haindi Bungeni ili kwa JK ilianza kwenda bungeni
Miminnilidhani utaratibu mzuri watu wanatajwa kutoka wenyewe
Tume ya Nyarari
Tume ya Warioba ilikuja pia wizara zote zina nuka rushwa
Kwa Mwinyi ripoto Waryoba alijudhulu
....Ni udhaifu wa usimamizi wa fedha za umma,mambo haya makubwa yasiposimamiwa kwa nguvu yataleta shida
Katika maeneo hayo wapo watu wanaosimamia maeneo hayo yanajurudia,katika hilo tumekeana vibaya,ushauri wangu kwrnye hili Rais wetu wana wajibu hilo halitokei tena mwisho uwa na mazoea
Katika kila eneo kuna kiongozi na mtendaji mkuu katika eneo hilo
Mambo yakiharibika waziri mkuu uwa anatoka
Rais wetu anaangaika kila siku kutafuta pesa huku pesa zinatumiwa vibaya
Deni la Taifa likiwa kubwa ni shida,wakati wa mwl Nyerere tulishindwa kukooeshwa
-Bado deni ni himilivu lakini linakuwa kila mwaka,kwa nini tunakopa kiasi hicho
Tangia awamu ya tano waliakua kufanya mambo makubwa,reli,ndege,madaraja,umeme,bwawa barabara zinajengwa.....lami busisi hii ni maendeleo hivyo tushangae deni kubwa,serikali iwe inatoa maelezo kwa sababu na vitu hivi.....Watanzania waleelezwe jinsi pesa ya inavyotekeleza miradi,kushauri sasa....tuzalishe mazao kupunguza deni
Wananchi nao tuna wajibu kutimia miundombinu hii tuzalushe tulime ili miundo mbinu hii iweze kutumika vema
Tulikuwa viwanda vya nguo pamba ya mkoa wa Mara,mwatex,Tabora,mbeya,Kilitex na Urafiki,Iringa kiwanda misitu....
Sisi ni soko la matajiri,tulitengeneza gari yetu Nyumbu
Kuridhishwa nabuongozi wa Rais Samia....
Taasisi ya Mwalimu Nyerere,kazi yake kung'ang'ania misingi,kushauri na kutoa haki
Miaka minne ya uongozi wa Rais Samia
Katika kusimamia misingi amefanya kazi nzuri mno
Niliwahi kumwandikia barua ya kumpongeza
Mipango aliyoyekekeza...ametekeleza tena mikubwa
Huduma za jamii,amefanya vema kabisa,afya,maji,barabara,umeme,bwawa la mwalimu,viwanja vya ndege msalato hata maadili. Amejitahidi sana
Rais wetu ningekuwa natoa maksi,rais amekufa akabebeshwa mzigo,bado kwenye siasa linampa shida,ametuelewesha maeneo yote yenye kasoro,mama ni muwazi kabisa kabisa....ningetoa ningmpa 85 kwa kazi kubwa aliyofanya Rais
Matatizo mengine ni mzigo wetu,sisi Watanzania tuna jukumu la kumsaidia mh Rais
Eneo ambalo hatujamsaidia Rais,eneo la kazi.....lazima tuwekeze maelezi na kuwafundisha watoto wetu kufanya kazi na kuacha chagua kazi,lazima uzalendo na maadili,tabia,rushwa,tabia.....tuache kuilamu serikali sisi ndo wenye jukumu,wazazi tukikataa kula vya haramu tutawalea vema watoto wetu,tujifunze kuwaambia mali ya umma si mali yako,uzalendo umeporomoka......