Mzee Joseph Butiku.... Mwenyekiti wa bodi ya taasisi ya MNF

GEORGE MARATO TV
0


Uchaguzi......

Oktoba,uchaguzi mkuu ni jambo la katiba kila baads ya miaka mitano,Watanzania wenye sifa za kisheria kuruhusiwa kupiga kura,

Sasa ubushi huu hata mimi nimeusikia,kama hakuna sheria za uchaguzi basi uchaguzi usiwepi

Huo ni ubishi,vinabishana vyama vya siasa vipo kwa kw mujibu wa katiba,mambo ya siasa nchi kuongozwa na vyama na vina viongozi na vina wanachana.....huo ni ubishi,wanabushana kuhusu utaratibu wa kufanya jambo,Ni kitu gani kinafanya watanzania wanyang'anywe haki yao ya kupiga kura na miaka mitano imefika

Huu ubishi si mzuri kwa wakati huu,kama hatutachagua lazima tuwe na serikali ambayo si halali

Kuwa na serikali iliyochaguliwa...Watanzania waruhusuwe kupiga kura,hiyo nafasi isizuiwe lazima watanzania waruhusuwe kupiga kura


Watu warusiwe katika uhuru wapige kura

Rushwa,wagombea wanatos rushwa,nashauri watanzania wachukue pesa kisa wawanyime kura


Kudai serikali inatimia mabavu

Ubishi usimamizi ni watu gani.....walimu,

Yoyote atakayeruhusiwa kusimamia...kwa nini ufanye jambo litakalosababisha watanzania wakose haki yao

Wasimamizi wafuate utaratibu pia Wagombea wafuate utaratibu 

Viongozi wa dini,uchaguzi uliopita hakuwrnda vizuri


......Nafasi ya Watanzania kuchagua viongozi wso ni jambo kubwa ,lisizuiwe wawape Watanzania  haki kuchagua viongozi wao,tusitumie Kasoro kuzuia jambo kubwa la uchaguzi,baada ya uchaguzi tupate mafai ya kuyazungumza


Rushwa isituzuie kwenda kwenye uchaguzi 


Umasikini.....


Umasikini tulionao...haujasababishwa na ccm,chama ni uongozi


Tangu uhuru serikali imetokana na Tanu pia CCM 


Mwl Nyerere aliwataja maadui..imasikini,ujinga na maladhi mwaka 62 katika hotuba yake bungeni bunge la kwanza kabisa


Umasikini upo....umasikininunatokewannabkufanya kazi,ukiwa na elimu na ujuzi unaweza kuondokana na umasikini


Bado hatujaweza kutumia watu wenye uwezo hatujaweza  kuzalisha bado hatujaondoa ujinga 


.....Tusilaumiane umasikini haundoleweli na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 


Chama hiki....ccm.wanawajibika kuangalia hali ya umasikini


Kila Mtanzania tuna wajibu kufanya kazi kuondoa umasikini,viongozi pia wana wajibu kujipanga zaidi 


Tusiuze Ardhi kama kanzu..


Hatujatumia sheria katika matumizi ya ardhi ya vijiji


Ugomvi wananchi vijijini ni ardhi  kazi ya serikali 


Watanzania waache kulalamika....lazima tukubali kufanya kazi 


....Kuhusu uteuzi wa mama Samia.....


CCM  kimetenda na kimenena....utaratibu ulifuatwa ingawa uligeuka kidogo


Mkutano mkuu baada ya kufanya uamuzi,taratibu sasa zilifuatwa,


Utaratibu ulifuatwa nje ya mazoea lakini taratibu zote zimefuatwa na hoja zimetolewa adharani


KATIKA CCM  mnapokuwa na Rais wa JMT au Zanzibar 


Sidhani hata mtu angejitikeza angeweza kumshinda mama Samia


Kwa chama tayari tulipanga 


Deni la Taifa......


Hakuna sababu serikali na Bunge wanaruhusu hilo litokee 

Hii si mara ya kwanza,mwl Nyerere ilikuwa haindi Bungeni ili kwa JK ilianza kwenda bungeni


Miminnilidhani utaratibu mzuri watu wanatajwa kutoka wenyewe


Tume ya Nyarari


Tume ya Warioba ilikuja pia wizara zote zina nuka rushwa


Kwa Mwinyi ripoto Waryoba alijudhulu


....Ni udhaifu wa usimamizi  wa fedha za umma,mambo haya makubwa yasiposimamiwa kwa nguvu yataleta shida


Katika maeneo hayo wapo watu wanaosimamia maeneo hayo yanajurudia,katika hilo tumekeana vibaya,ushauri wangu kwrnye hili Rais wetu wana wajibu hilo halitokei tena mwisho uwa na mazoea


Katika kila eneo kuna kiongozi na mtendaji mkuu katika eneo hilo


Mambo yakiharibika waziri mkuu uwa anatoka


Rais wetu anaangaika kila siku kutafuta pesa huku pesa zinatumiwa vibaya


Deni la Taifa likiwa kubwa ni shida,wakati wa mwl Nyerere tulishindwa kukooeshwa


-Bado deni ni himilivu  lakini linakuwa kila mwaka,kwa nini tunakopa kiasi hicho


Tangia awamu ya tano waliakua kufanya mambo makubwa,reli,ndege,madaraja,umeme,bwawa barabara zinajengwa.....lami  busisi  hii ni maendeleo hivyo tushangae deni kubwa,serikali iwe inatoa maelezo kwa sababu na vitu hivi.....Watanzania waleelezwe jinsi pesa ya inavyotekeleza miradi,kushauri sasa....tuzalishe mazao kupunguza deni


Wananchi nao tuna wajibu kutimia miundombinu  hii tuzalushe tulime ili miundo mbinu hii iweze kutumika vema


Tulikuwa viwanda vya nguo pamba ya mkoa wa Mara,mwatex,Tabora,mbeya,Kilitex  na Urafiki,Iringa kiwanda misitu....


Sisi ni soko la matajiri,tulitengeneza gari yetu Nyumbu


Kuridhishwa nabuongozi wa Rais Samia....



Taasisi ya Mwalimu Nyerere,kazi yake kung'ang'ania misingi,kushauri na kutoa haki 


Miaka minne ya uongozi wa Rais Samia


Katika kusimamia misingi amefanya kazi nzuri mno


Niliwahi kumwandikia barua ya kumpongeza


Mipango aliyoyekekeza...ametekeleza tena mikubwa


Huduma za jamii,amefanya vema kabisa,afya,maji,barabara,umeme,bwawa la mwalimu,viwanja vya ndege msalato hata maadili. Amejitahidi sana


Rais wetu ningekuwa natoa maksi,rais amekufa akabebeshwa mzigo,bado kwenye siasa linampa shida,ametuelewesha maeneo yote yenye kasoro,mama ni muwazi kabisa kabisa....ningetoa ningmpa 85 kwa kazi kubwa aliyofanya Rais 


Matatizo mengine ni mzigo wetu,sisi Watanzania  tuna jukumu la kumsaidia mh Rais

Eneo ambalo hatujamsaidia Rais,eneo la kazi.....lazima tuwekeze maelezi na kuwafundisha watoto wetu kufanya kazi na kuacha chagua kazi,lazima uzalendo na maadili,tabia,rushwa,tabia.....tuache kuilamu serikali  sisi ndo wenye jukumu,wazazi tukikataa kula vya haramu  tutawalea vema watoto wetu,tujifunze kuwaambia mali ya umma si mali yako,uzalendo umeporomoka......



Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top