Femata Yampongeza Igp Mstaafu Siro Kuteuliwa Kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Sitamico

GEORGE MARATO TV
0


 Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini   FEMATA Mr .Yusuph Kazi anatoa pongezi kwa  Mwenyekiti wa bodi ya STAMICO aliyemaliza muda wake  Major General ISAMUHYO kwa kazi kubwa aliyoifanya kwa kipindi chote ambacho ameongoza tangu kupewa nafsi hiyo. 

Aidha nachukua nafasi hii kumpongeza  Mh Balozi SIMON NYAKORO SIRRO (IGP mtaafu ) kwa kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa bodi ya  Madini Tanzania yaani STAMICO. 

 Tuna imani na wewe kubwa na Mwenyezi Mungu akutangulia katika majukumu yako mapya.Madini ni maisha na Madini  ni utajiri.


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top